Sunday, 12 April 2015

Umoja wa Wanavyuo Vikuu Iringa Wamuomba EDWARD LOWASSA kugombea URAIS 2015


Wanavyuo hao wapatao 1500 walioungana toka vyuo vikuu na vyuo vya kijamii Iringa wamesema kuwa wanamuomba Lowasa agombee uraisi na wako tayari kumuunga mkono. Wameyasema hayo wakiongea na waandishi wa habari wakati wakijitolea damu na kufanya usafi ktk hospitali ya rufaa ya mkoa wa Iringa.

Source: ITV habari

No comments:

Post a Comment