Showing posts with label Local News. Show all posts
Showing posts with label Local News. Show all posts

Friday, 10 April 2015

Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo Zitto Zuberi Kabwe.

KIONGOZI Mkuu wa Chama cha ACT- Tanzania, Zitto Kabwe ametaja sifa za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye angependa aongoze nchi na kusema kwamba yeye ana sifa hizo. Akizungumza na kituo kimoja cha runinga mwishoni mwa wiki iliyopita, Zitto alisema mtu anayetaka kuwa rais wa nchi hii ni lazima awe na uzalendo na asiwe ‘kasuku’ wa maneno mengi bila kuwa na sifa ya kusogeza nchi mbele kimaendeleo.
Alisema sifa nyingine ya anayefaa kuwa rais ni lazima mgombea nafasi hiyo achukie wananchi kuwa maskini kwa sababu nchi yetu ina fursa nyingi za kuwaondoa raia wake katika hali hiyo.
Aliongeza kuwa mgombea nafasi hiyo nyeti ya uongozi wa juu wa nchi ni lazima awe anayependa kuunganisha nchi na siyo kufarakanisha na awe wazi katika utawala wake akitolea mfano uongozi wa Rais Jakaya Mrisho Kikwete ambaye alisema ameweka wazi Ripoti ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CIG).

Thursday, 9 April 2015

Polisi Wamuhoji Askofu Gwajima Kwa Masaa Matano Kuhusu Mali Zake, Atakiwa Kuwasiliza Hati ya Umiliki wa Kanisa, Helkopta na Mali zingine Alizonazo

Askofu wa  Kanisa la Ufufua na Uzima Josephat Gwajima amelitikisa  tena  Jiji la Dar es Salaam leo  mara   bada  kuwasili makao  makuu  ya  Jeshi la polisi kanda maalum ya Dar es Salaam ili  kuendela  na  mahojiano kuhusu tuhuma za kumkashfu  Askofu Pengo.

Gwajima amewasili leo Kwenye Makao Makuu ya Jeshi la polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam Majira ya saa mbili kamili asubuhi huku akisindikizwa na viongozi mbali mbali wa Kanisa la Ufufuo na Uzama pamoja na Mwanasheria wake .
 
Eneo  lote  la  kituo  hicho  cha  polisi  lilikuwa  chini  ya  ulinzi  mkali wa maofisa mbalimbali wa Usalama wa Taifa wakisaidiwa na Jeshi la Polisi.

Baada  ya  kuwasili  kituoni  hapo, umati mkubwa  wa Waumini wake ulizunguka  maeneo yote ya  Kituo hicho   huku  wengine  wakiwa maeneo ya stendi ya Treni ya Reli ya kati.

BREAKING NEWS!.................AJALI NYINGINE TENA MIKUMI MKOANI MORO

Watu kadhaa wanahofiwa kufariki dunia baada ya basi la Happy Nation lililokuwa likitokea Dar es Salaam kuelekea Mbeya kupata ajali na kutumbukia kwenye mfereji katika eneo la Mikumi mkoani Morogoro. Ajali hiyo imetokea leo mchana ikiwa ni muda mfupi baada ya ajali nyingine kutokea leo ikihusisha magari matatu kwenye Kijiji cha Mbweni, Handeni mkoani Tanga na kuua watu 10.

WATU 10 WAFARIKI KWA AJALI HANDENI

Image result for animated breaking news logoWatu 10 wamefariki dunia katika ajali iliyohusisha magari matatu katika eneo la Mkata kijiji cha Mbweni wilayani Handeni Mkoani Tanga majira ya saa 5 asubuhi ya leo.
Akizungumza na East Africa Radio Kamanda wa kikosi cha usalama barabara mkoa wa Tanga,  Mohammed Mpinga amesema kuwa ajali hiyo imehusisha mabasi mawili ya abiria na gari dogo katika barabara ya Dar es salaa kwenda Tanga na Arusha.


Muonekano wa eneo la tukio baada ya ajali hiyo.

Wananchi wakiwa eneo la tukio.


Kwa mujibu wa Kamanda gari dogo ilikuwa likitaka kulipita lori lililokuwa mbele yake na ndipo ilipogongana uso kwa uso na basi la Ratco lililokuwa likitokea Tanga kwenda Dar es salaam.

Obama apinga ubadilishaji wa maumbile

Rais Barrack Obama amesema swala la kisaikolojia miongoni mwa vijana ili kubadilisha maumbile yao linafaa kukoma mara moja. Wengi wa wanaotaka kufanyia mabadiliko ya maumbile yao ni watu wa mapenzi ya jinsia moja hasa vijana.

Mwanamume aliyejibadilisha maumbile na kuwa mwanamke

MTANZANIA ALIYEKAMATWA KWA SHAMBULIO LA GARRISA KUPANDISHWA KIZIMBANI LEO

Mtanzania aliyekamatwa Kenya akishukiwa kuhusika na shambulio la kigaidi katika Chuo Kikuu cha Garissa wiki iliyopita lililosababisha vifo vya watu takribani 150 na wengine wengi kuachwa majeruhi, Rashid Charles Mberesero mwenye umri wa miaka 20 ni mwanafunzi wa kidato cha tano katika Shule ya Sekondari ya Bihawana Dodoma, lakini uongozi wa shule hiyo umesema kuwa, Rashid alitoweka shuleni hapo tangu Desemba mwaka jana. 
Mtanzania aliyekamatwa Kenya akishukiwa kuhusika na shambulio la kigaidi katika Chuo Kikuu cha Garissa wiki iliyopita Rashid Charles Mberesero.

RADIO ZA JAMII ZASHUKURU KWA KUPOKEA KATIBA INAYOPENDEKEZWA KWA NJIA YA SAUT

Wakurugenzi na viongozi mbalimbali wa Radio za jamii wamethibitisha kupokea na kuanza kurusha Katiba Inayopendekezwa kwa njia ya sauti, makala na michezo ya radio iliyoandaliwa na Kampuni ya Focus Media na COMNETA zenye maudhui ya katiba inayopendekezwa.

Wasimamizi wa redio za jamii wakisikiliza kwa makini wakati wa mafunzo ya kuwajengea uwezo yaliyofanyika hivi karibuni jijini Dar es Salaam.
Wakizungumza na Focus Media ambao ndio waandaaji na wasambazaji wamekiri kwamba wamepokea kwa wakati muafaka, kwani hawakuwa na chanzo sahihi cha kupata maudhui yanayohusu elimu ya uraia na uchaguzi mkuu na kura ya maoni.

Mwenyekiti wa Mtandao wa redio za Jamii, Joseph Sekiku akiongea machache kabla ya kuwagawia wasimamizi wa redio za jamii wakati wa mafunzo ya kuwajengea uwezo yaliyofanyika hivi karibuni jijini Dar es Salaam.

Mtabiri abaini mambo mazito kwenye maisha ya Lady Jaydee mwaka huu

Kwa Lady Jaydee, mwaka 2015 utakuwa wenye mafanikio makubwa, ndoa mpya, stress kiasi na magonjwa lukuki, kwa mujibu wa mtabiri!


Mtabiri huyo alialikwa na Lady Jaydee kwenye kipindi chake, Diary ya Lady Jaydee ambapo alidai kuwa mwaka huu muimbaji huyo atapata pesa nyingi kupitia muziki wake lakini kiafya akitabiriwa homa nyingi na kukifiria kifo mara kwa mara.


Vanessa Mdee ndio msanii bora wa kike kwa sasa, Jide kakabidhi kijiti rasmi

Tukubali tukatae ila msanii wa kike Vanessa Mdee ndiyo queen wa R&B na music wa kizazi kipya East Africa kwa sasa.
Amefanikiwa kuondoa utawala wa Lady Jaydee kwa muda mrefu. Kwa sasa ndiyo msanii anayepata airplay kuliko wasanii wote East Africa kwenye channel za kimataifa na wimbo wake hatari sana "nobody but me".

Mwana muziki huyu ambae ni mwanasheria kitaaluma music wake na uimbaji wake una standards za kimataifa unaweza kupenya popote

Diamond: Rais Anajuwa Mambo Mengi Kuliko Mimi Kwenye Muziki


Pili amesema wakiongeaga na Rais huwa Rais anajuwa mambo mengi ya muziki huko Amerika kuliko yeye. Nimejiuliza hivi ni kweli Rais JK anaweza kufanya hivyo ukizingatia majukumu mazito yanayomkabili juu ya taifa na wananchi wake?

Ni kweli Rais JK anajuwa mambo ya burudani na vinavyojiri kwenye ulimwengu wa muziki kuliko Diamond?

Zitto Kabwe: Wabunge zaidi 50 wa vyama Mbalimbali Kujiunga na ACT-Wazalendo

Kiongozi wa Chama cha ACT - Wazalendo , Zitto Kabwe amesema zaidi ya wabunge 50 kutoka vyama mbalimbali vya siasa nchini watajiunga na Chama chake kipya cha "ACT", wakiwemo wa CCM na Chadema.

Wanabongo Fleva wa 5 Anaowakubali Wema Sepetu, Diamond Namba Moja

 Staa mrembo kutoka Bongo Movies, Wema Sepetu pamoja na kutengena na mpenzi wake Nassib Abdul ‘Diamond’ lakini alipoamua kutaja wasanii wanaofanya vizuri katika muziki wa Bongo Fleva mtaliki wake huyo kampa namba moja katika wasanii watano ambao yeye anaona wanafanya vizuri katika muziki.



“Muziki umeshika kasi na kuna wasanii ambao wanafanya vinzuri kuliko wengine, kwangu Top 5 yangu 1 Nassib, wa pili ni Ashley, Ali kiba, Barnaba na wa tano ni mirrow hawa ni wasanii wanzuri wapo level za kimataifa,”anasema Wema.

LULU vs MAMA KANUMBA

HALI ni mbaya! Staa wa sinema za Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ na mama wa aliyekuwa nyota wa fani hiyo, Steven Kanumba, Flora Mtegoa wamefikia pabaya baada ya mama huyo kumshushia Lulu maneno  makali na ya shutuma,

Habari zilizojiri ndani ya chumba cha habari cha gazeti hili zinadai kuwa, mama Kanumba amemlalamikia Lulu kwamba, amemtupa na kumtenga tofauti na zamani ambapo uhusiano wao ulikuwa kama wa mama na binti yake.
“Jamani habari nzito kwa sasa ni mama Kanumba na Lulu. Mama Kanumba anamshutumu Lulu kwa kumtenga. Anasema ni miezi mitano sasa Lulu hajafika nyumbani kwake wala kuwasiliana naye kwa simu,” kilisema chanzo kimoja.

Rose ndauka VS Sheta

KIMESANUKA! Mkali wa muziki wa kizazi kipya nchini, Nurdin Bilal maarufu kama Shetta anadaiwa kulala chumba kimoja na staa wa filamu Bongo, Rose Ndauka katika hoteli iitwayo Kingway iliyoko mkoani Morogoro mwishoni mwa wiki iliyopita.
Nurdin Bilal maarufu kama Shetta.
Chanzo makini kinachofahamu kwa undani kinachoendelea baina ya mastaa hao wawili, kimelidokeza gazeti hili kuwa tukio hilo lilijiri wakati wakielekea katika shughuli za mazishi ya muasisi wa Kundi la Tip Top Connection, Abdul Bonge aliyezikwa kijijini kwao Mkuyuni mkoani humo, ambako watu wengi maarufu walihudhuria.

Wednesday, 25 December 2013

No plan to extend runway in Arusha


There are no immediate plans to extend the Arusha airport runway although a new apron will be built, the airport manager, Ms Esther Dede, has said.
Also in pipeline is the construction of a new terminal building to accommodate the increase in passenger traffic, but the length of the runway will remain the same for now.
She said the expansion and modernisation of facilities at the Arusha airport are contained in its master plan whose implementation is awaiting availability of funds.
Under it, a new terminal building would be constructed behind the current one and hence give enough space for the taxi ways for the increasing number of planes landing and taking off from there. Ms Dede was responding to questions on whether the airport runway would be extended to cater for large aircraft after last week’s unannounced landing of an Ethiopian jet at the tiny airfield.
“We have a master plan for the airport. But I have not seen anywhere in it that the runway will be extended. This airport will continue to cater for small and medium range aircraft,” she said.
She acknowledged in calls from stakeholders in the travel industry for the expansion of one of the busiest airports in the country to enable it to handle larger planes.
However, the official said that expansion is not contained in the present master plan and that unless that is done, Arusha Airport runway would remain with the same length; 1,620 metres. “We are okay. Our runway is up to standard; that is why it did not suffer the impact of the Ethiopian jet. But our airport is not meant for large aircraft,” she pointed out.
The unexpected landing of the Ethiopian-registered Boeing 767-300 ER carrying over 200 passengers and crew at the airport on Wednesday last week has brought the facility into the national focus, including safety concerns.
The jet, operated by an aviation firm in the Horn of Africa country, landed unannounced after an apparent communication breakdown with the Kilimanjaro International Airport (KIA) where it was destined to land.
Although the giant plane landed “safely” and managed to take off a few days later through application of specialised equipment, it skidded into the grass at the end of the 1,6200 metre long runway.
It took two days for engineers from Ethiopia and local counterparts to tow the giant bird back to the tarmac and on the right direction in the runway to enable it  take off.
According to aviation experts, Boeing 767-300ER  requires a runway with a minimum length of 2,341 metres at maximum landing weight. KIA’s runway is 3,200-metre long.

Tuesday, 24 December 2013

Hard times ahead for government



The Speaker of the National assembly, Ms Anne Makinda, has told ministers to change to escape frequent cabinet reshuffles.
Speaking shortly before adjourning the 14th Parliament seating yesterday, Ms Makinda noted that MPs, through their standing committees, have shown that they were determined to keep the ministers on their toes.
“As much as we will continue to have standing committee reports here, be assured that we will be hearing of scandals each year if you ministers continue to live and operate in the old days. We need to change,” Ms Makinda said. She spoke after prime Minister, Mr Mizengo Pinda presented his speech to conclude the Bunge session.
The Speaker said what had happened should be a wake up call to ministers whom he warned against the tendency of depending on their subordinates and executives on sensitive public issues.
Ms Makinda said changes instituted in the budget cycle also calls for change in government operations if the new system is to succeed. “If the government does not change in its operation, the new budget cycle will be meaningless,” she said of the approach for Parliament to reverse the old system of only approving funds without fisrt establishing how the previsous year’s were used.
She noted for instance that reports show that only small fraction of development funds have been released in the first quarter of the financial year while the Parliament asked the government borrow money to ensure smooth take off of the new system.
“But, if we continue to depend on TRA (Tanzania Revenue Authority) and Finance Ministry alone, we will not reach anywhere… the tax collector should also ensure that he doesn’t stop his work because under the new system the Finance Act allows him to do so from July 1 each year,” she said.
In his Bunge adjourning speech, Premier Pinda thanked the MPs for the in-depth debate which led to the resignation of four ministers. He also thanked the ministers for accepting to take responsibility for cruelties revealed by the Parliament Committee which investigated the implementation of Opereseheni Tokomeza Ujangili.
On food situation in the country, Mr Pinda noted that food inflation has started to increase as the country comes off the harvesting season.
But he said food availability was still promising noting that assessment of food situation conducted in October and November this year established that a total of 828,063 face food shortage.
“These people need a total of 23,312 tonnes up to February next year,” he said noting however that the nation has enough reserves to sustain the needs.
Mr Pinda adjourned the Parliament to May 6, next year when  it will meet for the marathon Budget 

Bunge drops sim card tax as mobile firms condemned



Parliament yesterday scrapped the controversial sim card tax and agreed to raise excise duty on telecommunication services by a further 2.5 per cent. The move will raise internet costs and puts to an end six months of confrontations between wananchi and pressure groups and the government.
The intention of mobile phone companies, which also opposed the sim card tax and moved to court to block TRA from imposing it, came into question as MPs revealed that the firms had agreed to “donate” Sh30bn to the government in return.
The fate of the court case, now with the Revenue Appeals Tribunal, remains unclear as the move to scrap the tax means there will be no reason to go to court. The firms lost the first case at the Tax Revenue Board and lodged an appeal last week.    But even as the MPs approved the Excise Management and Tariff (Amendment) Bill 2013, they warned the government about its tendency to ignore advice on matters that touch on the lives of the people.
The amendments moved by the Finance deputy minister, Ms Saada Mkuya, dropped the Sh1,000 monthly sim card tax, subjecting the government to a Sh148 billion deficit in revenue collection projections.
To compensate for this, the government proposed a rise in excise duty on telecommunication services from 14.5 per cent to 17 per cent.
According to Ms Mkuya, the higher excise duty should enable the government to net Sh148 billion. The mobile telecommunication industry has agreed to give the government the Sh30 billion balance. But MPs have raised questions over the generosity of the companies that, only few months ago, said they were incapable of collecting the Sh1,000 sim card tax on behalf of the government.
“Why, all of a sudden, have the companies become so generous that they have volunteered to give the government Sh30 billion when it is the same companies that were protesting the sim card tax?” asked Mr Rajab Mbarouk Mohammed (Ole–CUF).
Other MPs opposed the excise duty hike, noting that though they wanted the government to raise money for water and electricity in the rural areas, the move would add to the burden of Tanzanians.
“During the budget we opposed the increase to 14.5 per cent because it would hurt poor Tanzanians,” said Ms Christine Lissu as she tabled the opposition speech, “but today the government wants to raise it to 17 per cent while the rate does not exceed 12 per cent in the rest of East Africa.”
Mr Salehe Pamba (Pangani–CCM) said the government needs to get into the habit of involving stakeholders before making decisions, especially on taxation issues that directly affect the people.
Mr James Mbatia (Nominated–NCCR-Mageuzi) said the sim card tax conflict is evidence of how uncoordinated the government is.
“It is amazing that the Finance minister (William) Mgimwa, who backed the law that introduced the sim card tax, disowned the same law a few days after the protests started,” he said.

Shock as medical registration fees up by 600pc



Patients here will now pay six times more in charges at mid-level public hospitals as the authorities move to decongest Muhimbili National Hospital, which serves more than 1,000 people every day.
Mwananyamala hospital, in Kinondoni district, has hiked the registration fee from Sh1,000 to Sh6,000 for out-patients beginning December 1.
The Citizen on Sunday has learnt that Temeke and Amana hospitals will also announce new fees soon as the government seeks to turn them into regional referral hospitals. The move has caught many city dwellers unawares and concerns have been raised over the state of affairs at health centres and dispensaries, which face acute shortage of medicine and personnel.
Many of the over four million city residents who are poor will struggle to raise the new fees at the designated referral facilities. They are expected to throng the lower facilities that still maintain their registration fees at Sh1,000.
In a spot check at Mwananyamala, The Citizen on Sunday met patients protesting the rise in the fees. They lamented that the new charge was way too much for a government hospital. A notice pinned at the hospital announced the new fees and change in status. Patients with referral letters from public health centres will pay Sh3,000 in registration fees.
Those without such documents will pay double the amount, according to the notice. On Wednesday, brothers Mohammed and Abdalah Mwinjuma from Makumbusho left without treatment when confronted with the changes. They claimed they had neither the information nor the money demanded. The brothers have over the years relied on Mwananyamala as it is the health centre nearest to their home. “My brother (Abdalah) is ill and I have brought him straight here,” said Mohammed as they walked out. “Now I am told I have to pay Sh6,000 because we don’t have a referral letter. We have not been attended to.”
Lucy Charles had a referral, though, and had been cleared to see a doctor after paying Sh3,000. But she still complained that the amount was too much: “We used to pay Sh1,000, which is affordable for the common mwananchi like me, but what is the difference with the private hospitals? We don’t see any improvement in services, just the pricing.”
But an official at Mwananyamala defended the new fees, saying they were within the official cost-sharing policy. Mr Edwin Bisakala, the Health Secretary, said the earlier payment of Sh1,000 was only for registration while the current amount covers a medical card, consultations and initials lab tests. “Formerly, the patients were either bringing an exercise book that we used to keep their medical records but the new A4 card remains in the patient’s file at the hospital and the patient is given a card number for reference. On top of that, the patient will get consultation and some initial tests.”
He added: “We are just implementing the national cost-sharing policy that says we should raise the fees by 50 per cent if the cost of operation has risen.  Secondly, it is now a regional referral hospital requiring that the people make use of the health centres in their wards.”
The new charge is expected to help raise internal hospital revenue so that even when the national medical subsidy is delayed or insufficient, they can still maintain required operational levels without disrupting services. “The hospital therapeutic committee proposed the new price and sent the proposal to the hospital board which is the representative of the citizens, who approved it,” he said.
The new charge at Mwananyamala hospital and impending ones at Temeke and Amana means that ward public dispensaries will now receive more patients. But inquiries at the health centres and dispensaries indicate that the current situation in terms of medical supplies and staffing will likely remain the same.
A tour of several of these health centres and dispensaries established that little has changed and staff have not been made aware of their new role. Sources at Makuburi dispensary, who spoke on condition of anonymity, said they were taken by surprise at the sudden surge in patients. The source added: “We were taken aback at first as Mwananyamala did not involve or inform us of the consequences of their move. We now attend to about 200 patients, up from an average of 100 every day.”  An officer at Sinza health centre said they did not know if help would come, and in what form, if they were to handle the new challenges. “We were not informed of the changes but the patients have increased. We have not been given additional funding or more staff and medicine. “
At Makuburi, the facility has only two doctors while the third is on leave. “The government or the administration of Mwananyamala hospital should have first considered the situation in these centres because now we will have a big burden using the same inadequate resources,” said one worker.  Ministry of health officials were unavailable for comment.

How Dar can curb corruption


Tanzania has to pull up its socks and back words with commitment if the country wants to triumph against corruption, says Transparency International (TI).
The organisation recently ranked Tanzania at 111 out of 177 countries on its 2013 Corruption Perceptions Index, nine places down from the 2013 index.
Since the publication of the 1996 Warioba report assessing the state of corruption in Tanzania, the country has established a comprehensive body of regulations, laws and oversight institutions aimed at preventing, investigating and sanctioning corrupt practices, including the Prevention of Corruption Bureau (PCB) to Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB), and the Ethics Inspectorate Department. 
However, anti-corruption institutions suffering from lack of staff, resources and coordination, enforcement of the laws and regulations remaining limited, which some view as the reasons behind the stalling of the fight against corruption.
“Despite 2013 being a year in which governments around the world passed new laws and forged fresh commitments to end corruption, people are not seeing the results of these promises”, said Transparency International.
According to the organisation, anti-corruption is an increasingly attractive platform for politicians, with many incorporating anti-corruption pledges into their election campaigns. The danger, however, is that these anti-corruption promises fail to materialise.
 “Government guarantees of greater accountability do not always bring about tangible results at the local level. Protests in Brazil this summer showed public exasperation at the continuation of political scandals in spite of governmental assurances of a zero-tolerance policy on corruption,” claimed the organisation .
Borrow a leaf
Tanzania and the Sub-Saharan region as a whole once again shows the highest perceived levels of public sector corruption, averaging a score of 33.
According to TI, there are however success stories which showed action in executing anti-corruption strategies. Estonia established a new anti-corruption strategy centring on increasing transparency in state institutions by creation of online database accessible to all, where people can find who in their municipal council won a tender and what can be done with taxpayer money.  The effort, among others, saw the country climbing four places in the index, from 32 in 2012 to 28 this year.
According to the latest corruption studies in the country, 18 per cent of Estonians said they had been offered bribes and four per cent had given bribes. The strategy is not dealing with crimes directly, but rather focusing on prevention and education.
In Spain, after a period blighted by political scandals indicating a lack of accountability and fading public trust, the country has dropped ten places in the index from 30 last year to 40 this year. Spain tried to remedy its corruption troubles with a new Transparency Law passed by a congress in September and awaits Senate’s approval .

DC announces city’s cleaning schedule


The district commissioner here, Halima Dendego, has announced plans by the local government to undertake an improvement on the current public cleanliness exercise in Tanga popularly known as “Kalembo Day,” conducted every first Saturday of the month to ensure that it does not become a nuisance to businessmen.
Announcing plans at the first inaugural meeting of the Tanga District Business Council (TDBC), Dendego said that under the new plans to be effective starting next year, businesses would not be closed on ‘Kalembo Day’ as it was the case in the past.
Closure of businesses has caused quite a stir and has been a nuisance to businessmen who have complained of losing profits through the exercise. Contributing to a general discussion on the state of business in Tanga City, a member of the council, Sadik Shembilu, said people were not treating the day with mockery, with businessmen closing businesses as usual but staying inside their houses without doing any kind of cleanliness.
“It does not serve the original purpose of cleaning the city. We thank authorities for establishing the cleanliness drive but I think we should change our tactics,” said Shembilu.
He suggested the use of youth brigades to clean many areas using payments from households instead of using the current system.
The district commissioner said that the city would be divided into zones where cleaning would be done by different sectors of the society.
“The first zone would be where the city council is able to conduct cleanliness without any problem. The second zone would be left to the private sector and would include a plan to establish youth groups to do the cleanliness for a fee,” Dendego pointed out.
She said the other zone would involve areas where the public would do cleanliness collectively (msalagambo).
“Cleanliness in Tanga would be a 24-hour affair and the health department is expected to take charge of the situation to ensure that everybody takes part in the exercise.
Meanwhile, a health department official, Joseph Mbati, said that registration of youth groups to undertake cleaning tenders has already started and eight groups have already been registered.