Uchunguzi umebaini kuwa Serikali na vikosi vya Waasi vimetekeleza mauaji.
Ingawa makubaliano ya amani yalitiwa saini mwezi uliopita, bado mgogoro umeendelea.
Uundwaji wa mahakama ni sehemu ya makubaliano ya Rais Salva Kiir na Kiongozi wa waasi, Riek Machar yaliyotiwa saini baada ya kuwepo shinikizo kutoka kwa viongozi wa kikanda.
Sudani kusini haiitambui mahakama ya kimaaifa ya icc, Umja wa Afrika pia umeikosoa mahakama hiyo kwa kufanya kazi zake kwa upendeleo, madai ambayo ICC imekana
No comments:
Post a Comment