Vigogo wa soka nchi Tanzania Yanga, Simba pamoja na Azam FC wamendeleza wimbi la ushindi katika michezo ya ligu kuu.
| Msimamo wa Ligi kuu Tanzania |
Azam nao wakicheza katika dimba lao la Azam Complex waliibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhid ya Coastal Union ya Tanga, mabao ya Azam yakifugwa na Shomari Kapombe na Kipre Tche Tche.
Wekundu wa Msimbazi Simba wakawachapa Stand United kwa bao 1-0 bao hilo pekee likiwekwa kimiani na Joseph Kimwaga.
Matokeo mengine ya michezo ya ligi hiyo
African Sports 0-1 Mgambo
Kagera Sugar 0-0 JKT Ruvu
Majimaji FC 1-1 Ndanda FC
Prisons 0-0 Mwadui FC 0
No comments:
Post a Comment