Tuesday, 29 September 2015

Kriketi: Kocha wa West Indies atimuliwa

Phil Simmons
Simmon mwenye umri wa miaka 52 aliyechaguliwa kuwa kocha mkuu wa kikosi hicho mwezi machi mwaka huu amelaumiwa kwa kuwaengua Dwayne Bravo na Kieron Pollard, katika safari ya kuelekea Sri Lanka.

Eldine Baptiste, amechaguliwa kuwa mkufunzi wa kikosi kitachokwenda kushiriki michuano itakayoanza Octoba 14 nchini Sri Lanka.

Mwenyekiti wa bodi ya mchezo wa kriketi ya West Indies, amethibitisha kuwa kocha huyo ameondolewa kwenye timu na hatosafiri na timu

No comments:

Post a Comment