TEVEZ WA MASHAUZI AFANYA DUA
Mume wa ‘long time’ wa mwimbaji nyota wa kike wa
muziki wa Taarab nchini, lsha Ramadhan ‘Mashauzi’, Jumanne Hassan
‘Tevez’ ambaye hivi karibuni alitekwa na kuteswa na watu wasiofahamika
nchini Afrika Kusini, amerejea nchini na kufanya dua ya kumshukuru Mungu
kwa kumnusuru kifo katika tukio hilo.
Tevez aliwakusanya ndugu, jamaa na marafiki na kufanya dua hiyo, Ijumaa
iliyopita nyumbani kwao Msamvu, Madawa jirani na Shule ya Msingi Msamvu
‘A’
No comments:
Post a Comment