Kiongozi wa kundi hilo la wapiganaji Ahmed Diriye anaongoza katika orodha hiyo huku Serikali ikitoa ruzuku ya dola laki mbili u nusu ($250,000) kwa yeyote atakayetoa habari zitakazofichua aliko.
Jumla ya dola milioni moja zimetengwa katika hatua hii ambayo inalenga kuchochea umma kuisaidia serikali hiyo kuitokomeza kundi hilo linalolaumiwa kwa mauaji ya zaidi ya wanafunzi 148 wa chuo kikuu cha Garissa nchini kenya.
No comments:
Post a Comment