| Wasichana wa shule waliotekwa nyara na Boko Haram |
Msemaji wa kundi linalojiita Bring Back Our Girls (Aisha Yesufu) aliiambia BBC kuwa serikali ya rais Jonathan kwanza haikuamini kuwa wasichana hao walikuwa wametekwa.
Lakini rais Jonathan alikilaumu chama cha upinzai kinachosimamia jimbo na Borno kwa kusababisha mchanganyiko wakati wasichana hao walipotekwa.
Siku ya Jumatatu mkazi mmoja wa mji ulio kaskazini mashariki mwa nchi wa Gwoza alisema kuwa aliwaona baadhi ya wasichana hao wiki tatu zilizopita walipokuwa wakitoka kwenye nyumba moja kubwa karibu na nyumba yake.
No comments:
Post a Comment