Saturday, 11 April 2015

IDRIS AKUTANA NA WIZKID NCHINI AFRIKA KUSINI


 

Wizkid akiwa na Mshindi wa Big Brother Africa wa mwaka 2014 Idris wakiwa katika picha ya pamoja chini Afrika ya Kusini jana usiku.
 

Wizkid, Jeremiah Ogbodo na mashabiki zao.
 

Permithias akiwa katika pozi.

Mshindi wa Big Brother Hotshots 2014, Idris Sultan jana alikutana na wanamuziki wa Nigeria akiwemo Wizkid ‘Wizzy’ kwenye klabu ya Kong iliyopo nje kidogo ya mji wa Johanesberg nchini Afrika Kusini.
Idris na Wizzy walifika katika klabu hiyo wakiwa sambamba na wanamuziki wengine maarufu wa Nigeria wakiwemo Permithias, Tonto Dikeh na Jeremiah Ogbodo.
Wizkid alipata nafasi ya kufanya ‘show’ alfajiri ya kuamkia leo na kukonga nyoyo za mashabiki waliofika katika viunga vya klabu ya Kong.

No comments:

Post a Comment