Thursday, 9 April 2015

Zitto Kabwe: Wabunge zaidi 50 wa vyama Mbalimbali Kujiunga na ACT-Wazalendo

Kiongozi wa Chama cha ACT - Wazalendo , Zitto Kabwe amesema zaidi ya wabunge 50 kutoka vyama mbalimbali vya siasa nchini watajiunga na Chama chake kipya cha "ACT", wakiwemo wa CCM na Chadema.

No comments:

Post a Comment