Habari hizo huenda zikamshtua Brendan Rodgers ambaye anawaona wachezaji wake wakiwindwa na kilabu pinzani.
Rodgers angependa sana kuwazuia wachezaji wake katika uwanja wa Anfield lakini pia anajua kwamba hawezi kushindana na mfuku mzito wa mmiliki wa kilabu hiyo Sheikh Mansour.
No comments:
Post a Comment