BAYPORT FINANCIAL SERVICES YAENDESHA SHINDANO LA KUKOPA PESA KWA NJIA YA MTANDAO
Meneja
Utawala wa Bayport Financial Services aliyezibwa macho, Evalyine Hall,
akichagua koponi ya mmoja wa washindi wa Kopa Bayport kwa njia ya
mtandao wa www.kopabayport.co.tz,
inayoendeshwa na taasisi hiyo ambapo washindi watatu ambao ni Hyasint
Mbunda (Songea), Phaustine Mbilinyi (Dar es Salaam) na Allen Bishubo
(Bukoba), walipatikana na kila mmoja kushinda Sh Milioni moja. Kushoto
ni Meneja Masoko na Mawasiliano wa Bayport, Ngula Cheyo na kushoto ni
Msimamizi wa Michezo ya Kubahatisha, Humud Abdulhussein.
Meneja
Utawala wa Bayport Financial Services Evelyine Hall katikati akisoma
koponi ya mmoja wa washindi wa Kopa Bayport kwa njia ya Mtandao
inayoondeshwa na taasisi hiyo ya kifedha. Kulia kwake ni Msimamizi wa
Michezo ya Kubatisha Tanzania, Humud Abdulhussein na kushoto ni Ngula
Cheyo, Meneja Masoko na Mawasiliano wa taasisi hiyo ya Bayport Financial
Services.
Ngula
Cheyo (katikati) ambaye ni Meneja Masoko na Mawasiliano wa taasisi ya
kifedha ya Bayport Financial Services akizungumza jambo katika droo ya
kutafutwa washindi watatu wa bahati nasibu inayoandaliwa na taasisi hiyo
ambao kila mmoja alishinda Sh Milioni moja.
Ngula
Cheyo (katikati) ambaye ni Meneja Masoko na Mawasiliano wa taasisi ya
kifedha ya Bayport Financial Services akizungumza jambo katika droo ya
kutafutwa washindi watatu wa bahati nasibu inayoandaliwa na taasisi hiyo
ambao kila mmoja alishinda Sh Milioni moja. Kulia ni Humud Abdulhussein
kutoka Bodi ya Michezo ya Kubahatisha na kushoto ni Meneja Utawala wa
Bayport Financial Services, Evalyine Hall.
Shughuli ya kutafutwa washindi wa Kopa na Bayport kwa njia ya mtandao wa www.kopabayport.co.tz inaendelea.
Jamani
huyu ndiye mshindi. Ndivyo anavyoenekana kusema Meneja Utawala wa
Bayport Financial Services katika droo ya kutafutwa washindi watatu
waliokopa kwa njia ya mtandao.
No comments:
Post a Comment